• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali kuendelea kuwashirikisha Wadau wa Elimu kutatua changamoto za Sekta ya Elimu nchini – Dkt. Shindika

Imewekwa tar.: June 24th, 2025

Na OR – TAMISEMI, Arusha

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Wadau wa Sekta ya Elimu nchini ili kuhakikisha changamoto zinazoikabili Sekta ya elimu zinatatuliwa kwa kufanya maboresho mbalimbali.         

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 24 Juni, 2025 Jijini Arusha katika ukumbi wa Kibo Palace Hotel na Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu na Usimamizi wa Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt Emmanuel Shindika kwa niaba ya Bw. Atupele Mwambene, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo alisema ili kuhakikisha Sekta hiyo inakwenda vizuri, Serikali itawashirikisha Wadau wote wa Elimu waliopo ndani na nje ya nchi, wa kitaifa na kimataifa kuendelea kuzikabili changamoto za Sekta hiyo hapa nchini kama vile ajira za walimu na ujenzi wa miundombinu. 

Aidha, Dkt. Shindika alisema Serikali inafuatilia kwa karibu na kufanya utafiti kwa kutumia taarifa za kimfumo za kujua maeneo yaliyo na uhaba wa walimu na pindi wanapoajiriwa walimu wapya basi hupelekwa kwenye maeneo yenye upungufu wa walimu hususani maeneo ya pembezoni yenye uhaba mkubwa wa walimu.

“Ofisi ya Rais TAMISEMI imejipanga vema katika kupanga walimu kulingana na mahitaji ya eneo husika na hivyo, hakutaweza kutokea mlundikano wa walimu wengi sehemu moja kwani kabla ya kuwapanga, tayari Wizara inajua wapi kuna mahitaji kutokana na utafiti ambao utakuwa umefanywa” alisisitiza Dkt. Shindika.  

Naye Bi. Stella Mayenje Msimamizi wa Miradi ya Ufadhili wa Serikali ya Sweden kwa Serikali ya Tanzania alisema wamekutana kama Wadau wa Elimu Tanzania kufanya tathmini ya pamoja kama ambavyo walikubaliana na Serikali na Wadau wote mwaka 2022 (Midterm Review Partnership Compact, 2025) lakini pia kama wadau, wamejikita katika kusaidia ufadhili hususani Sekta ya elimu kwa kuangalia wapi wanafanya vizuri na wapi kunahitaji maboresho kwa mfano kuimarisha mipango ya kuwa na walimu wa kutosha, mazingira ya kufundishia na kujifunzia na masuala ya jinsia.

Bi. Mayenje aliongeza kuwa katika Mradi wa GPE LANES II ulifanikiwa kwa asilimia 95.4 na katika Mradi wa sasa wa Kuboresha Kada ya Ualimu (GPE TSP), umekuja na vigezo vya kuangalia takwimu za walimu wanaoajiriwa kama ipo sawa na wanafunzi waliopo shuleni na hapa alisema kama sehemu ya motisha kwa Serikali upande wa ufadhili unatoa Dola za Kimarekani 10,000 kwa kila walimu 3,000 walioajiriwa na Serikali ambapo fedha hizo za Msaada hupelekwa kufanya maboresho kwenye masuala ya elimu yaliyoainishwa.

Kwa upande wake Dkt. Jordan Busingu Mshauri wa Elimu kutoka Ubalozi wa Uingereza, akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Wadau wa Maendeleo, alisema kikao kazi hicho cha mapitio kina lengo kubwa kwao kama kama Wadau wanaoshirikiana na Serikali katika kuhakikisha elimu inamfikia kila mtoto na hakuna anayeachwa nyuma kama vile kuweka usawa (equity) katika utoaji wa elimu, vifaa vya kufundishia na kujifunzia pamoja na kufanya tathmini yao na Serikali kuhusu maendeleo ya Sekta ya elimu nchini.

Kikao Kazi cha siku mbili kwa mwaka 2025 kinaangazia kufanya mapitio ya Kati ya Mpango wa Ushirikiano wa Wadau mbalimbali wa elimu kutoka ndani na nje pamoja na Wadau wa Maendeleo ili kutathmini maendeleo ya Sekta ya Elimu nchini kwa kuibua hoja za nini kifanyike katika kuendeleza na kukabiliana na changamoto za elimu.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - AJIRA YA MKATABA LISHE July 03, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • SERIKALI KUENDELEA KUSOGEZA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KWA WANANCHI.

    July 01, 2025
  • Maafisa lishe watakiwa kumaliza udumavu, ukondefu kwa Watoto, vitambi na vilibatumbo kwa watu wazima

    July 01, 2025
  • WAZIRI MCHENGERWA AWAFUNDA MA RC WAPYA

    June 28, 2025
  • SERIKALI YAIPONGEZA TARURA KWA KAZI NZURI WANAZOFANYA MHE: MCHENGERWA AWASIHI KUTOKATISHWA TAMAA

    June 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.